Maisha Magic Bongo hupeperushwa angani katika Chaneli ya DStv 160. Chaneli hili lilianzishwa kwa niaba ya watazamaji wa Tanzania. Idadi ya watu wengi wanapata maidhui mapya na kuwapa soko wazalishaji, waigizaji na wakurugenzi wa Tanzania.
Chaneli hili linalenga watu wote wenye umri wa miaka kumi na tatu (13) hadi miaka Sabini (70) na Zaidi. Tunawaletea filamu, tamthilia, vipindi vya Tamthilia mfululizo, Vipindi vya Upishi, Desturi ya Watanzania, Muziki na kadhalika
Chaneli Letu:
Maisha Magic Bongo – DStv Chaneli 160